iqna

IQNA

Diplomasia ya Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesisitizia wajibu wa kupambana na uvamizi wa Marekani nchini Iraq sambamba na kuimarisha kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq maarufu kwa jina la al-Hashd al-Shaabi.
Habari ID: 3480022    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/09

Harakati za Qur'ani
IQNA – Bunge la Iraq linapanga kutunga sheria zinazolenga kulinda haki za wahifadhi wa Qur’ani, kulingana na spika wa bunge.
Habari ID: 3479975    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30

Harakati za Qur'ani
IQNA – Sherehe ilifanyika katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, Jumamosi, ili kuwaenzi wahifadhi wengi wa Qur'ani Tukufu. Jumla ya wanaume na wanawake 1,000 walitunukiwa kwenye sherehe kwa ajili ya mafanikio yao ya Qur'ani.
Habari ID: 3479971    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/29

Arbaeen 1446
IQNA - Waziri Mkuu wa Iraq alisema idadi ya wafanyaziara wa Arbaeen kutoka Iraq na nje ya nchi inatarajiwa kufikia milioni 23 mwaka huu.
Habari ID: 3479294    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/18

Diplomasia ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza udharura wa kuongezeka mashinikizo ya kisiasa ya Ulimwengu wa Kiislamu dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kusimamisha mauaji yanayofanywa dhidi ya watu wa Gaza na kusema: Iraq, ikiwa nchi muhimu katika eneo la Magharibi mwa Asia, inaweza kuwa na nafasi maalumu katika uwanja huu na kuanzisha mstari mpya katika ulimwengu wa Waarabu na wa Kiislamu.
Habari ID: 3477851    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/06

Hali ya Iraq
TEHRAN (IQNA)- Bunge la Iraq limeipasisha serikali ya Waziri Mkuu Mohammad Shia al-Sudani baada ya kuipigia kura ya kuwa na imani nayo.
Habari ID: 3475998    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28